Jumatano, 4 Machi 2015

introduction malovedave

        waswahili husema"kuna vya kushea ila si mapenzi" hense proved
kweli nimeamini mapenzi yanaweza kukufanya ukawazoba kama kakaBANANA[NDIZI]
haya ndo yaliyonitokea mimi masikini nisiekuwa na mbele wala nyuma
   inasikitishakusikia mtu amejinyonga kisa mapenzi'USIOMBE YAKUTOKEE'
maana mpenzi ni kama mzuka katika mpira yana hamasa kubwa kuliko mpira
leo hii watu wanauana kisa malove na wanaacha school kisa malove si ajabu wanabadili "dini,kabila,lugha,"kisa mapenzi??????????inasikitisha sana
kweli mapenzi yananguvu kushinda baunsa yeyote duniani.vijana husema kuchachuliwa ni siri ya ndani laaahasha ila tuwaulize walio oa ni kweli??


                        asanteni kwa kusoma bloggle
                            by zunya kapaya ze don